Chidi Koldsweat ni Boss wa Shirika hilo amesema Wanawake waliotajwa ni wale ambao wameleta mabadiliko chanya kwa jamii kupitia kazi zao kwenye Mashirika ya Kimataifa, Tasisi za Serikali na binafsi, Siasa , Sekta ya Habari n.k
"Nimefurahi kutajwa imenipa nguvu kuendelea kupambana, Wanawake wenzangu wajitambue, tambua Mungu amekupa nini, itakusaidia kuweka mipango ya kuleta maendeleo sio kwako tu hadi kwa jamii"- Jokate
0 Comments
+255717114144